Tuesday 26 May 2015

REAL MADRID: RAPHAEL BENITEZ MBIONI KUTUA MADRID


Kocha wa zamani wa Liverpool Raphael Benitez karibu ataingia Real Madrid msimu wake ukiisha Napoli Jumapili ijayo...Benitez bado haja saini mkataba lakini mazungumzo yako mbali sana...Carlo Ancelotti alifukuzwa na meneja wa Real Madrid baada ya kukaa hapo Bernabeu miaka 2...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment