Kocha wa zamani wa Liverpool Raphael Benitez karibu ataingia Real Madrid msimu wake ukiisha Napoli Jumapili ijayo...Benitez bado haja saini mkataba lakini mazungumzo yako mbali sana...Carlo Ancelotti alifukuzwa na meneja wa Real Madrid baada ya kukaa hapo Bernabeu miaka 2...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Tuesday, 26 May 2015
REAL MADRID: RAPHAEL BENITEZ MBIONI KUTUA MADRID
Kocha wa zamani wa Liverpool Raphael Benitez karibu ataingia Real Madrid msimu wake ukiisha Napoli Jumapili ijayo...Benitez bado haja saini mkataba lakini mazungumzo yako mbali sana...Carlo Ancelotti alifukuzwa na meneja wa Real Madrid baada ya kukaa hapo Bernabeu miaka 2...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment