Manchester United wanamchukua forward wa PSV Eindhoven Memphis Depay...Depay atatia timu Old Trafford akimaliza uchunguzi wa daktari na dirisha la usajili likifunguliwa mwezi wa sita...Man U wamemchukua kwa bei kati ya pounds milioni 25 na 30 na atakaa mpaka 2019...Depay mwenye umri wa miaka 21 amewafungia PSV mabao 21 msimu huu na PSV walinyakua kombe la ligi ya wadachi...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Friday, 8 May 2015
MANCHESTER UNITED: MDACHI FORWARD MEMPHIS DEPAY KUTUA OLD TRAFFORD
Manchester United wanamchukua forward wa PSV Eindhoven Memphis Depay...Depay atatia timu Old Trafford akimaliza uchunguzi wa daktari na dirisha la usajili likifunguliwa mwezi wa sita...Man U wamemchukua kwa bei kati ya pounds milioni 25 na 30 na atakaa mpaka 2019...Depay mwenye umri wa miaka 21 amewafungia PSV mabao 21 msimu huu na PSV walinyakua kombe la ligi ya wadachi...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment