Tuesday 19 May 2015

EPL: CHELSEA HOI KWA WEST BROMWICH ALBION


Chelsea jana walikuwa kituko kwani walikuwa kama watoto watukutu ambao sio mabingwa kabisa...Chelsea walichapwa 3 na West Bromwich Albion bila ubishi...Kipindi cha kwanza kwenye dakika takriban ya 27 kulitokea mzozo kati ya Costa na McAuley na Costa akalambishwa kadi ya njano...Wakati wachezaji wengi wanajadiliana na refa Cesc Fabregas alipiga mpira ukamgonga Brunt...Fabregas akalambishwa kadi nyekundu...


Mourinho nae alisema eti sababu ya kufungwa ni timu kubwa zimewaachia Chelsea wachukue ubingwa mapema...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment