Wednesday 20 May 2015

COSAFA CUP: TANZANIA LAZIMA WASHINDE LEO

Mart Nooij (Backpagepix)
Tanzania na Lesotho lazima washinde mechi zao leo au wanarudi nyumbani...Tanzania ilichapwa mechi yake ya kwanza...Timu zote zilishangaza wadau kwa kufungwa mechi zao za kwanza...Lesotho walichapwa na Madagascar 2-1 na Tanzania ambao walicheza vizuri na kushambulia sana walizubaa na kuchapwa 1-0...Leo lazima timu hizi zifanye kweli bila uzembe kama wanataka kubaki kwenye michuano...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment