Sunday 31 May 2015

FIFA: SEPP BLATTER ASHANGAZA WATU KWA USHINDI


Sepp Blatter ameshangaza wadau wa soka duniani kwa kuchaguiwa kuwa rais wa shirikisho la soka duniani Fifa...Blatter alifanikiwa kushinda uchaguzi ambao ulikuwa wa watu 2 na mwenzake Prince Ali wa Jordan aliamua kukubali matokeo.Blater alipata kura 133 dhidi ya kura 73 za Prince Ali kwenye round ya kwanza...Mshangao unakuja kutokana na wakuu kadhaa kukamatwa na kufunguliwa mashtka na nchi ya Marekani na sasa wanasubiri kujibu mashtaka hayo...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment