Saturday 9 May 2015

BOXING: WBA WACHUKUA MKANDA WAO KUTOKA KWA FROCH


Carl Froch amepoteza mkada wa super-middleweight kutokana na kushindwa kutetea mkanda huo...Boxer Froch ambae anatokea Uingereza pia aliachia mkanda wa IBF...Froch alishindwa kuzichaa na Julio Chavez Jr mwezi wa 3 kutokana na mattatizo ya mkono...Promota wa Froch, Eddy Hearn, amesema boxer anadhani boxer huyo hato zichapa tena...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment