Thursday 14 May 2015

CHAMPIONS LEAGUE: JUVE NDANI YA FAINALI NA BARCA


Alvaro Morata aipeleka timu yake ya Juventus kwenye fainali ya Champions League toka 2003...Morata aliifunga timu yake ya zamani ya Real Madrid bao safi dakika ya 57 lakini alikataa  kushangilia bao lake...Wadau wengi walitabiri 'El Clasico' ya kwanza kabla Casillas kufungwa na Morata...


Real walichapwa mechi ya kwanza 2-1 na wakasawazisha kwenye mechi ya pili kupitia penalty aliyofunga Cristiano Ronaldo dakika ya 23 lakini Morata akaiweka Juve mbele kipindi cha 2...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment