Shirikisho la Soka Tanzania TFF limekubali kuwa mwenyeji wa michuano ya kombe la Kagame mwaka huu...CECAFA Kagame Cup itafanyika Tanzania na TFF sasa watatoa mwaliko kwa timu zote ambazo zinastahili kucheza...Baada ya kupata uhakika nani atacheza ndipo TFF wataandaa list ya watakao cheza na ratiba rasmi na kuitoa kwenye vyombo vya habari na kwa wadau...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 11 May 2015
TFF: TANZANIA ITAKUWA MWENYEJI WA KAGAME CUP
Shirikisho la Soka Tanzania TFF limekubali kuwa mwenyeji wa michuano ya kombe la Kagame mwaka huu...CECAFA Kagame Cup itafanyika Tanzania na TFF sasa watatoa mwaliko kwa timu zote ambazo zinastahili kucheza...Baada ya kupata uhakika nani atacheza ndipo TFF wataandaa list ya watakao cheza na ratiba rasmi na kuitoa kwenye vyombo vya habari na kwa wadau...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment