Wednesday 20 May 2015

INDIANAPOLIS 500: JAMES HINCHCLIFFE AFANYIWA UPASUAJI BAADA YA AJALI MBAYA


James Hinchcliffe wa timu ya Schmidt Peterson Motorsports anayetokea nchi ya Canada amepata ajali mbaya kwenye Indy 500 baada ya kugonga ukuta akiwa spidi na gari kuwaka moto...James alikimbizwa hospitali na kufanyiwa upasuaji wa haraka...Hali yake inaendelea vizuri lakini bado yuko Intensive Care...


Hii ni ajali ya 4 mbaya kwenye Indy 500 ndani ya wiki na hii ni baada ya kubadilisha sheria kufanya gari zisikimbie sana...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment