Thursday 21 May 2015

EPL: SUNDERLAND YAPONEA CHUPUCHUPU


Sunderland jana usiku waliponea chupuchupu kushuka daraja katika game yao dhidi ya Arsenal ndani ya Emirates....Mechi iliisha 0-0 na kuifanya Sunderland kubakia kwenye ligi ya wakali wa wakali kwa mwaka wa 9 sasa...Sunderland wamshukuru sana kipa wao Costel Plantilimon kwa kuzuia mabao kibao hasa dakika za mwisho...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment