Sunderland jana usiku waliponea chupuchupu kushuka daraja katika game yao dhidi ya Arsenal ndani ya Emirates....Mechi iliisha 0-0 na kuifanya Sunderland kubakia kwenye ligi ya wakali wa wakali kwa mwaka wa 9 sasa...Sunderland wamshukuru sana kipa wao Costel Plantilimon kwa kuzuia mabao kibao hasa dakika za mwisho...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Thursday, 21 May 2015
EPL: SUNDERLAND YAPONEA CHUPUCHUPU
Sunderland jana usiku waliponea chupuchupu kushuka daraja katika game yao dhidi ya Arsenal ndani ya Emirates....Mechi iliisha 0-0 na kuifanya Sunderland kubakia kwenye ligi ya wakali wa wakali kwa mwaka wa 9 sasa...Sunderland wamshukuru sana kipa wao Costel Plantilimon kwa kuzuia mabao kibao hasa dakika za mwisho...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment