Friday 22 May 2015

FIFA: LUIS FIGO AJITOA KWENYE MBIO ZA KUWANIA URAIS


Luis Figo ameamua kujitoa kwenye mbio za kuwania urais wa Fifa....Figo alijitoa siku moja na Michael Van Praag na kumwacha Sepp Blatter kupamba na mtu mmoja ambae ni Prince Ali Bin Al-Hussein wa Jordan...


Blatter bado ananafasi kubwa ya kuwa rais wa Fifa kwa mara ya 5...Member association 209 zote nina kura ya kumchagua rais wa Fifa na Michael Van Praag amesema atamsupport Prince wa Jordan...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment