Wednesday 20 May 2015

LIVERPOOL F.C.: RAHEEM STERLING AZOMEWA


Raheem Sterling alizomewa jana kwenye tuzo za wanasoka bora wa club ya Liverpool...Sterling alizomewa kutokana na kutaka kuondoka club ya Livepool kwasababu anataka dau kubwa...Raheem alizomewa wakati anapokea tuzo ya mwanasoka bora kijana wa mwaka wa Liverpool...Wakati wanaonyesha mabao yake kwenye luninga watu walikaa kimya tofauti na mabao ya Coutinho watu walikuwa wakishangilia...Dogo Raheem alipata wakati mgumu sana wakati anatoa salam za kuwashukuru wachezaji wenzake...Bofya hapa upate habari zaidi.


No comments:

Post a Comment