Monday 1 June 2015

EPL: PATRICK VIEIRA YUKO KWENYE LIST YA KUWA KOCHA NEWCASTLE


Mchezaji wa zamani wa Arsenal na Manchester City Patrick Vieira yuko kwe list ya watu wanne wanaotarajiwa kuifundisha Newcastle United...Vieira ambae alishinda vikombe 3 vya ligi na FA Cup 4 akiwa na Arsenal kabla ya kusogea Juventus mwaka 2005 na badae kurudi Uingereza na kuichezea Manchester City mwaka 2010 na kuwasaidia wachukue kombe la FA mwaka 2011...Newcastle wamekaa bila kocha wa kudumu kwa muda toka Alan Pardew ajiunge na Crystal Palace...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment