Wednesday 17 June 2015

EPL: FALCAO KARIBU ANAINGIA DARAJANI


Radamel Falcao yuko mbioni kuingia Chelsea kwa mkopo wa msimu mzima...Falcao ambae ameifungia mchezaji wa Monaco ambae ameifungia Manchester United mabao 29 ataingia Chelsea baada ya Man U kukataa kumchukua kwa milioni 43.2 pounds za Uingereza...Falcao sasa yuko anacheza kwenye Copa America huko Chile chini ya bendera ya Colombia...Bofya hapa upare bahari zaidi.

No comments:

Post a Comment