Thursday 25 June 2015

COPA AMERICA: CHILE NDANI YA NUSU FINALI


Mauricio Isla ndiye aliyewapeleka Chile nusu fainali baada ya kupachika bao mwishoni...Chile waliwafunga Uruguay ambao walikuwa na watu 9 bao la pekee kutoka kwa Isla...Chile walicheza mpira safi na kuwakabili Uruguay bila ubishi...Vifaa viwili, Arturo Vidal na Eduardo Vargas, vilikuwa matata sana katika lango la Uruguay kabla ya Edison Cavani kutolewa nje na kadi nyekundu...Chile sasa wanasubiri kucheza na mshindi wa game ya kesho kati ya Bolivia na Peru...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment