Wednesday 10 June 2015

FIFA: POLISI WACHUKUA KOMPYUTA ZA FIFA


Fifa wametoa kumbukumbu zao za kielktroniki na kompyuta zao kwa polisi wa Uswisi kutokana na uchunguzi unaoendelea...Fifa iko kwenye uchunguzi wa kula rushwa na uchunguzi ambao umekamata wakurugenzi kadhaa wa sasa na wazamani...Polisi pia wamebeba kumbukumbu za aliyekuwa rais wa Fifa Sepp Blatter...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment