Sunday 7 June 2015

CHAMPIONS LEAGUE 2015: BARCELONA MABINGWA WA SOKA ULAYA


Barcelona wakiwa ndani ya Olympic Stadium jijini Berlin walinyakua ubingwa wa Champion League mbele ya dunia nzima...Barcelona wanashinda kombe hilo kubwa kuliko yote Ulaya kwa mara ya 5 sasa...Barca kabla ya dakika tano za mwanzo walipiga gonga za akili na kupata bao safi kupitia kwa Rakitic...


Barca walishinda 3-1 kwa kucheza mpira wa akili na wa kasi ingawa Juve nao kipindi cha 2 walijitahidi sana na kuambulia bao lao la pekee kupitia kwa Morata dakika ya 55...Bofya hapa upate habari zaidi. 

No comments:

Post a Comment