Sunday 21 June 2015

BRAZIL: NEYMAR AFUNGIWA COPA AMERICA


Mchezaji maarufu wa Brazil Neymar, Jr. amefungiwa mechi 4...Neymar atakosa mechi zote za Copa America baada ya kupatikana na hatia ya kufanya fujo...Kwanza Neymar alipewa kifungo cha game moja alivyopata kadi nyekundu kwenye game yao na Colombia...Pili aliongezewa adhabu kutokana na Shirikisho la Soka Amerika ya Kusini kuangalia tena fujo zake ambazo inasemekana alichapa mchezaji na mpira baada ya mechi kuisha na badae akamgonga kichwa mchezaji mwingine na badae akazozana na refa kabla ya kwenda chumba cha kubadili nguo...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment