Sunday 28 June 2015

COPA AMERICA: BRAZIL NJE

Gonzalez
Brazil wametolewa kwenye Copa America na Paraguay kwenye matuta...Mchezaji wa zamani wa Manchester City Robinho aliwaweka mbele Brazil mapema dakika ya 15 lakini badaae kipindi cha 2 Thiago Silva alinawa mpira na Gonzalez alisawazisha bao la tuta...Brazil walifungwa 4-3 na kukumbusha mechi yao dhidi ya Paraguay mwaka 2011...Paraguay watacheza na Argentina tarehe 1 July...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment