Sunday 28 June 2015

YANGA: YANGA, VILLA BILA BILA



Mechi ya kirafiki na ya Kimataifa ya Sports Club Villakutoka Uganda na Dar es Salaam Young Africans ilimalizika 0-0 ndani ya uwanja wa Taifa....Mechi hii kwa Yanga ilikuwa ya kujiandaa na Kagame Cup na pia kutoa habari kuhusu mauwaji ya Albino yanayo endelea nchini...Mechi ilihudhuriwa na watu wengi akiwemo Waziri Mkuu Mizengo Pinda...Yanga pia walionyesha vifaa vyao vipya Donald Ngoma na Joseph Tetteh Zutah...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment