Sunday 14 June 2015

GHANA: AYEW NDANI YA SWANSEA CITY


Andre Ayew mtoto wa aliyekuwa mkali wa soka Ghana Abedi Pele ameingia Swansea kwa free transfer kutoka Marseille...Ayew mwenye miaka 25 atakaa Swansea miaka 4...Ayew alikaa Marseille toka 2006 na amewafungia mabao 52 katika mechi 181 alizocheza pamoja na hayo ameichezea timu yake ya taifa mara 62...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment