Saturday 27 June 2015

COPA AMERICA: TEVEZ AIPELEKA ARGENTINA NUSU FAINALI


Bao la Carlos Tevez ndio lililowavusha Argentina mbele kwenye game dhidi ya Colombia...Argentina walishambulia sana lakini walikutana na kipa wa Arsenal ambae alikuwa makini sana kulinda lango...Ospina alizuia mashuti ya Lionel Messi, Sergio Aguero na Nicolas Otamendi....Game ilishia kwenye matuta na Tevez ndie aliepiga tuta la mwisho na kufanya Argentina washinde 5-4...Argentina wanasubiri kucheza na Brazil au Paraguay...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment