Thursday 25 June 2015

KENYA: TIMU BINGWA YA VOLLEYBALL KUCHEZA WORLD GRAND PRIX


Timu ya taifa ya Kenya ya volleyball ambao ni mabingwa wa volleyball Afrika watacheza kwenye machindano makubwa sana ya volleyball duniani...Michuano hiyo inajulikana kama World Grand Prix na itafanyikia nchini Mexico...Hii ni mara ya 2 Kenya inahudhuria mashindano hayo makubwa duniani wanao leta mabingwa wote sehemu moja...Kenya imepangwa Group 3 pamoja na Algeria, Australia, Colombia, Cuba, Kazakstan, Mexico na Peru...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment