Sunday 28 June 2015

BOCA JUNIORS: TEVES AKAMILISHA USAJILI BOCA


Carlos Tevez amerejea tena Boca Juniors alipoanzia mpira wake kabla ya kwenda kucheza Ulaya...Juventus tayari wameshapata mchezaji mbadala ambae ni Mario Mandzukic kutoka Atletico...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment