Tuesday 23 June 2015

SIMBA S.C: DYLAN KERR KOCHA MPYA MSIMBAZI


Simba Sports Club sasa imepata mwanga baada ya kumchukua kocha wa anayetoka Uingereza Dylan Kerr...Kerr anachukua nafasi ya Goran Kopunovic...Aveva amesema wamefikia uamuzi mzuri na atakaa mwaka 1 na anaingia uwanjani Jumatatu kuanza mazoezi ya kujitayarisha na ligi ya mwaka 2015/2016...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment