Simba Sports Club sasa imepata mwanga baada ya kumchukua kocha wa anayetoka Uingereza Dylan Kerr...Kerr anachukua nafasi ya Goran Kopunovic...Aveva amesema wamefikia uamuzi mzuri na atakaa mwaka 1 na anaingia uwanjani Jumatatu kuanza mazoezi ya kujitayarisha na ligi ya mwaka 2015/2016...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Tuesday, 23 June 2015
SIMBA S.C: DYLAN KERR KOCHA MPYA MSIMBAZI
Simba Sports Club sasa imepata mwanga baada ya kumchukua kocha wa anayetoka Uingereza Dylan Kerr...Kerr anachukua nafasi ya Goran Kopunovic...Aveva amesema wamefikia uamuzi mzuri na atakaa mwaka 1 na anaingia uwanjani Jumatatu kuanza mazoezi ya kujitayarisha na ligi ya mwaka 2015/2016...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment