Wednesday 24 June 2015

LIVERPOOL: ROBERTO FIRMINO NDANI YA THE KOP


Liverpool wamemsajili forward wa Hoffenheim, Roberto Firmino, kwa kiasi cha pound milioni 29...Firmino ni mbrazil ambae ni matata sana anayechezea timu ya taifa ya Brazil...Dogo mwenye umri wa miaka 23 anategemewa kukaa Anfield kwa miaka 5...Firmino akitoka Chile kwenye Copa America atafanyiwa uchunguzi wa afya na baada ya hapo ataingia the Kop...Bofya haa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment