Thursday, 28 May 2015

FIFA: UEFA WATAKA UCHAGUZI WA RAIS UHAIRISHWE


Wa kuu wa mpira wa Ulaya wanakutana leo ili kujadili jinsi ya kushawishi wenzao kwamba uchaguzi wa rais wa Fifa usifanyike kutokana na kukamatwa kwa viongozi wa juu kutokana na rushwa...Wakuu wa Uefa wanasema kukamatwa kwa viongovi kunaonyesha jinsi gani rushwa ilivyokomaa ndani ya Fifa...Uefa wanasisitiza mabadiliko ya uongozi ndani ya Fifa na pia uchaguzi ufanyike baada ya miezi 6...Bofya hapa upate habari zaidi. 

2 comments: