Thursday 30 July 2015

FIFA: PLATINI ATAKA KUONGOZA FIFA WENZAKE HAWATAKI



Michel Platini ametangaza anataka kuwania kiti cha juu kabisa cha Shirikisho la Soka Duniani Fifa lakini wenzake amabo pia wana wania hawataki....Platini alitangaza Jumatano kwama anataka kuwania nafasi ya juu kabisa ya Fifa tarehe 26 mwezi wa 2 mwakani...Prince Ali bin al-Hussein na Musa Bility wamesema Platini sio chaguo zuri kwa Fifa kwa sasa...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment