Thursday 9 July 2015

FIFA: CHUCK BLAZER AFUNGIWA MAISHA


Katibu Mkuu wa zamani wa Concacaf na executive committee member Chuck Blazer afungiwa maisha kushiriki biashra yoyote inayohusu soka...Habari zilizoingia hivi punde tu zinasema kutokana na vitendo vyake vya rushwa na kushtakiwa kupokea na kutoa rushwa wakati Afrika ya Kusini ilipozawadiwa kuwa mwenyeji wa World Cup...Blazer alianza kushirikiana na prosecutors wa Marekani muda mrefu ili kufichua uovu wa rushwa ya muda mrefu ndani ya Fifa...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment