Tuesday 7 July 2015

SWIMMING: WATATU KUSHIRIKI MASHINDANO YA DUNIA YA FINA


Watanzania wa 3 wataenda Urusi kushiriki mashindano ya kimataifa ya kuogelea ya FINA World Championship...Mashindano hayo yatafanyika kuanzia July 24 mpaka August 9 na yatafanyika Kazan, Urusi...Katibu Mkuu msaidizi wa chama cha kuogelea cha taifa (TSA) Marcelino Galinoma amessema wataowakilisha Tanzania ni Magdalena Moshi, Hilal Hilal na Amaar Ghadiyali...Watakuwa chni ya kocha Samson Makere...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment