Namba 1 Uingereza Heather Watson jana alionyesha umwamba wake baada ya kumpelekesha bingwa wa tennis Serena Williams...Serena aliponea chupuchupu baada ya kukimbizwa set ya 3 na Watson mpaka akapata hasira kibao lakini alivyo tulia alifanikiwa kumfunga Watson...Serena alishinda kwa seti 2 kati ya seti 3 6-2 4-6 7-5...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Saturday, 4 July 2015
WIMBLEDON: SERENA ATOLEWA JASHO NA HEATHER WATSON
Namba 1 Uingereza Heather Watson jana alionyesha umwamba wake baada ya kumpelekesha bingwa wa tennis Serena Williams...Serena aliponea chupuchupu baada ya kukimbizwa set ya 3 na Watson mpaka akapata hasira kibao lakini alivyo tulia alifanikiwa kumfunga Watson...Serena alishinda kwa seti 2 kati ya seti 3 6-2 4-6 7-5...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment