Tuesday 21 July 2015

OPEN CHAMPIONSHIP: ZACH JOHNSON BINGWA ST. ANDREWS


Mmarekani Zach Johnson ameshinda play-off ya watu watatu na kuchukua ubingwa wa British Open...Johnson ameshinda major yake ya 2 mwaka 2007 alishinda Masters...Johnson alipambana na Louis Oosthuizen wa Afrika ya Kusini na Marc Leishman wa Australia kwenye mashimo manne ya ziada...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment