Sunday 26 July 2015

MANCHESTER UNITED: DI MARIA AINGIA MITINI


Kocha wa Manchester United Louis van Gaal amesema hajui kwanini Di Maria hakuingia kwenye ndege wakati wa ziara ya Man U kabla msimu haujaanza...Pia amesema Marcos Rojo hakuingia lakini Rojo anamatatizo na Passport yake...Gazeti moja la Ufaransa linaloitwa L'Equipe limesema Manchester United na Paris St-Germain wamekubaliana dau la pounds milioni 46.5 kwa Di Maria lakini bado mazungumzo yanaendelea...Manchester wametoka kuwachapa Barccelona 3-1 kweye mechi ya kirafiki...Bofya hapa upate habari zaidi za Man U.

No comments:

Post a Comment