Sunday 26 July 2015

KAGAME CUP 2015: AZAM YAIRARUA ADAMA CITY


Azam FC iko kileleni baada ya kuirarua Adama City ya Ethiopia mabao 5-0 kwenye michuano ya CECAFA inayoendelea jijini Dar es Salaam...Wafungaji mabao walikuwa Ivorian striker Kipre Tchetche ambae alipachika mabao 2, Farid Mussa, Mudadhir Yahya na Aggrey Morris...Azam walikuwa walikuwa na ball control safi toka mwanzo wa mechi na walistahili ushindi na sasa wanaongoza Group C wakiwa na oints 9...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment