Roger Federer alionyesha umwamba wake wa tennis kwenye game ambayo alimchapa Sam Querrey seti zote 3...Federer alishinda 6-4 6-2 6-2 na kuingia 32 bora katika michuano mikali sana ya tennis duniani ya Wimbledon huko Uingereza...Federer ambae ni namba 2 duniani anafukuzia taji la 8 ambalo ni la kistoria...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Friday, 3 July 2015
WIMBLEDON: ROGER FEDERER ASINGA MBELE
Roger Federer alionyesha umwamba wake wa tennis kwenye game ambayo alimchapa Sam Querrey seti zote 3...Federer alishinda 6-4 6-2 6-2 na kuingia 32 bora katika michuano mikali sana ya tennis duniani ya Wimbledon huko Uingereza...Federer ambae ni namba 2 duniani anafukuzia taji la 8 ambalo ni la kistoria...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment