Tuesday 7 July 2015

WOMEN'S WORLD CUP: MAREKANI YACHAPA 5 NA KUCHUKUA KOMBE


Timu ya wanawake ya Marekani wanenyakua ubingwa wa dunia...Tumu ya USA imechukua kombe kwa mara ya 3 sasa kwa kumchapa Japan 5-2...

Nyota wa mchezo alikuwa Carli Lloyd ambaye alitumia daakiak 13 kupata 'hat-trick' na kati ya bao lake moja alipiga mkwaju kutoka katikati ya uwanja na kutingisha nyavu....


Rais wa Caf Issa Hayatou akikabidhi kombe kwa captain wa zamani Christie Rampone na veteran stiker Abby Wambach...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment