Saturday 25 July 2015

KAGAME CUP: YANGA YAIZAMISHA KMKM 2-0

 
Donald Ngoma akimtoka beki Khamis Ali Khamis (Source:Michuzi Blog)

Dar es Salaam Young Africans jana wamefanikiwa kuingia robo fainali ya michuano mikali ya Kagame Cup kwa kuichapa KMKM ya Zanzibar mabao 2-0 ndani ya uwanja wa Taifa...Timu zote zilicheza mpira safi lakini Yanga ndio waliokosa mabao mengi sana ya wazi kipindi cha 2 lakini nao KMKM kipindi cha kwanza walikuwa wanasumbua sana Yanga...


Busungu mnamo dakika ya 56 alipachika bao safi baada ya kupokea pasi kutoka kwa mchezaji mpya hatari Donald Ngoma kutoka Zimbabwe...Yanga pamoja na kushinda wako nafasi ya 3 wakiwa na points 6 ndani ya Group A...Bofya hapa upate habri zaidi.

No comments:

Post a Comment