Thursday 23 July 2015

CONCACAF GOLD CUP: FUJO ZATOKEA MECHI YA PANAMA NA MEXICO


Fujo kubwa ilitokea kwenye mechi ya Gold Cup chini ya Concacaf ambayo ilikuwa aibu sana kwa waandaaji...Panama walichapwa na Mexico na watacheza na Jamaica ambao waliwachapa kwa mshangao Wamarekani...


Mechi ya Mexico na Panama ilikuwa nzuri sana na ya kasi sana sema vikumbo na fouls zilikuwa vingi sana...


Fainali itafanyika Jumapili ndani ya Lincoln Financial Center jiji la Philadelphia...Bofya hapa upate habari zaidi.


No comments:

Post a Comment