Monday 13 July 2015

WIMBLEDON 2015: DJOKOVIC AMCHAPA FEDERER NA KUCHUKUA UBINGWA WIMBLEDON


Novak Djokovic bingwa wa mwaka jana Wimbedon amemchapa bingwa mara 7 Roger Federer katika mechi kali sana iliyofanyika jana...Djokovic alimchapa Federer 7-6 (7-1) 6-7 (10-12) 6-4 6-3 ndani ya masaa mawili na dakika 56...Djokovic sassa amewapita wakongwe wa tennis duniani kama Jimmy Connors, Andre Agassi na Ivan Lendl katika list ya washindi wa vikombe vikubwa 'majors'...Djokovic alisema haikuwa rahisi kucheza na Federer mtu ambae watu wengi wamekua kwa kufuata kutokana na umahiri wake wa tennis...

Kocha wa Djokovic Boris Becker akiwa na mke wa
Djokovic Jelena
Kocha wa Djokovic mkongwe wa tennis Boris Becker alifurahi sana kutokana na ushindi huu mkubwa katika ulimwengu wa tennis duniani...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment