Monday 27 July 2015

KAGAME CUP 2015: YANGA YASHINDA NA SASA KUKUTANA NA AZAM FC


Yanga imefanikiwa kushinda mechi yake dhidi ya Al Khartoum ya Sudan bao 1-0...Khamis Tambwe ndiye aliyepachika bao pekee ingawa Yanga walikosa mabao ya wazi na wangeweza kuongoza kwa mengi lakini sasa wana uhakika wa kucheza robo fainali na Azam FC...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment