Monday 13 July 2015

MANCHESTER UNITED: MORGAN SCHNEIDERLIN AKAMILISHA USAJILI ANASUBIRI USHAURI WA DAKTARI


French international Morgan Schneiderlin yuko tayari kuichezea Manchester United baada ya makubaliano ya pounds milioni 24 kukamilika na anategemewa kukaa Old Trafford kwa miaka 4...Morgan alitokea Southampton na anacheza nafasi ya midfield na ameingia AON Training Complex tayari kwa kupata medical tests aweze kupitishwa rasmi kama mchezaji wa Manchester United...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment