Monday 13 July 2015

MANCHESTER CITY: RAHEEM STERLING AKUBALI DAU LA MAN CITY


Raheem Sterling amekubali kuingia Manchester City kwa dau la pounds za Uingereza milioni 49...Manchester City watatoa pounds milioni 44 awali na milioni 5  badae...Sterling alizua mzozo mkubwa sana Liverpool kutokana na dau la kumbakiza lakini sasa maneno yameisha na atapokea zaidi ya pounds 180,000 kwa wiki kwa miaka 5...Sterling atakuwa mchezaji tajiri sana mwenye umri wa miaka 20 katika historia ya Premier League...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment