Friday 17 July 2015

EPL: LIVERPOOL MBIONI KUMCHUKUA BENTEKE


Liverpool sasa wanauhakika wa kufikia dau ambalo Aston Villa wameliweka la ponds milioni 32.5 la kumchukua Christian Benteke mwenye umri wa miaka 24...Liverpool wamepata pesa za kutosha sasa kutokana na mauzo ya Rheem Sterling ya milioni 49...Benteke alifunga mabao 12 katika mechi 12 kuisaidia Aston Villa kubaki kwenye Premiership mwishoni mwa msimu uliopita...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment