Wednesday 22 July 2015

KAGAME CUP: AZAM YAINGIA ROBO FAINALI


Azam FC imefanikiwa kuingia robo fainali ya michuano mikali ya CECAFA Kagame Cup kwa kuichapa timu ya Sudan ya Kusini, Malakia, 2-0 ndani ya uwanja wa Taifa...Mabao yalipatikana vipindi vyote viwili na mabao yalitoka kwa John Bocco na Kipre Tchetche...Hapo awali Azam waliwachapa KCC 1-0 Jumapili na sasa wameigia robo fainali wakiwa na game 1 ya ziada...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment