Wednesday 8 July 2015

BOXING: WBO WACHUKUA MKANDA WAO KUTOKA KWA MAYWEATHER


World Boxing Organisation wachukua mkanda wao wa welterweight ambao Mayweather alishinda kwenye pambano lake na Manny Paquiao...Sababu ya kuchukua mkanda ni kutokana na Mayweather kushindwa kulipa kiwango cha kuendesha pambano ambacho ni dola 200,000...


Mayweather amepewa mpaka tarehe 20 kukata rufaa...Kuanzia sasa Timothy Bradley ndio atatambulika kama mtu aliyeshikilia huo mkanda...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment