Thursday 16 July 2015

MANCHESTER UNITED: VALDES KUUZWA BAADA YA KUKATAA KUCHEZA


Kipa wa Manchester United Victor Valdez atauzwa kutokana na kukataa kuchea reserves...Habari hiyo ametoa kocha Luis Van Gaal na kusema Valdes hakubaliani na filosofia yake na kutokana na hilo hana nafasi kwenye timu...Valdes alitoa tweet yake akaandila '.....? #Respect...


Valdes aliachwa kwenye safari ya kwenda Marekani...Van Gaal amesema De Gea bado yopo yupo mpaka wapate bei kubwa ndio watamwachia...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment