Wednesday 22 July 2015

F1: LEWIS HAMILTON ATAMKUMBUKA BIANCHI KWENYE SALA MUDA WOTE


Lewis Hamilton amesema atamkumbuka marehemu Jules Bianchi kwenye sala muda wote wa maisha yake ya udereva...Alisema hayo kwenye msiba wa Bianch ambao ulihudhuriwa na watu wengi sana akiwemo Nico Roseberg, Sebastian Vettel, Jason Button, Fillipe Massa na wengine wengi...



Hamilton alisema kumuaga Bianchi haikuwa jambo rahisi kwa wote kuja kumuaga dereva mwenzao...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment