Tuesday 28 July 2015

MANCHESTER UNITED: KIPA SERGIO ROMERO NDANI YA OLD TRAFFORD


 Manchester United wanazidi kuimarisha timu baada ya kumyakua Sergio Romero kipa kutoka Argentina...Kocha Louis van Gaal amesema walihitaji kipa mzuri kutokana na uwezekano wakampoteza David De Gea ambaye Real Madrid wanamtaka sana...Romero atachukua nafasi ya Victor Valdez ambae ameambiwa na kocha anaweza kusepa...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment