Thursday 30 July 2015

KAGAME CUP 2015: YANGA YATOLEWA NA AZAM FC


Azam FC imefanikiwa kuingia nusu fainali ya kombe la Kagame baada ya kuwatoa wakongwe Yanga kwa matuta...Yanga waliaga mashindano baada ya kukubali mabao ya matuta 5-4 kutokana na kutoka 0-0 kipindi cha kawaida...Azam walifunga mabao yao yote lakini Aishi Manula aliokoa penalty ya 3 ya Haji Mwinyi...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment