Monday 24 February 2014

EPL: LIVERPOOL YASHINDA KATIKA GAME KALI DHIDI YA SWANSEA


Game ya Liverpool na Swansea ilikuwa kali na iliishia na magoli mengi na Liverpool kuibuka mshindi....Liverpool ilishinda magoli 4 kwa 3 baada ya Daniel Sturridge kupachika bao dakika ya 2 na badae kidogo Jordan Henderson kupachika bao la pili...

Swansea walijibu na shuti la yadi 20 kutoka kwa Jonjo Shelvey na pia Wilfred Bony dakika ya 27 alipachika bao na kuweka timu yako level na Liverpool...Sturridge alipachika goli lake la 2 na badae Swansea walipata penalty dakika ya 47 na Bony ndiye aliyefunga na kusawazisha na baada ya hapo dakika ya 74 Henderson alipachika goli la ushindi....

No comments:

Post a Comment